Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wahandisi mbalimbali hawapo pichani kuhusu umuhimu wa Taaluma ya Uhandisi na Maendeleo nchini kabla ya kufunga mkutano huo wa mwaka uliondaliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi(ERB).
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wapili kutoka kulia akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi Profesa Ninatubu Lema wakawanza kushoto pamoja na Mbunge wa Tunduru kaskazini, Mheshimiwa Ramo Makani wakikagua baadhi ya kazi zinazofanywa na wahandisi nchini.
Wahandisi zaidi ya 200 wakila kiapo cha Uhandisi mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Kisutu Waliyarwande Lema, huku viongozi mbalimbali akiwemo Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akishuhudia tukio hilo.
 Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akikagua moja ya mabanda mbalimbali katika maadhimisho ya Siku ya Wahandisi Tanzania.
 Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi zawadi ya kompyuta laptop  kwa mmoja kati ya wanafunzi wakike waliofanya vizuri katika masomo ya kihandisi nchini.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akipewa maelezo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Baraza la Ujenzi la Taifa (NCC) Dkt. Leonard Madaraka Chamuriho wakwanza kushoto kuhusu kazi mbalimbali za Baraza hilo.
Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja na wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo ya Uhandisi nchini. Picha zote kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano Serikalini–Wizara ya Ujenzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...