Mgeni Rasmi wa mkutano wa mwaka wa wachumi na
maafisa mipango, Balozi Dkt. Matern Lumbanga akizungumza na washiriki wa
Mkutano huo kabla ya kuufungua rasmi.
Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango akisoma hotuba wakati wa mkutano wa mwaka wa wachumi na maafisa mipango unaofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya viongozi wa wa Ofisi ya Rais, Tume ya
Mipango wakimsikiliza kwa makini Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Rais, Tume ya
Mipango, Dkt. Philip Mpango (Hayupo pichani). Kutoka Kushoto ni Naibu Katibu
Mtendaji (Uchumi Jumla), Prof. Longinus Rutasitara, anayemfuatia ni Bw. Paul
Sangawe (Naibu Katibu Mtendaji anayeshughulikia Biashara za Kimataifa na
Mahusiano ya Kiuchumi) na Kulia ni Naibu Katibu Mtendaji (Huduma za Jamii na
Masuala ya Idadi ya Watu) Bibi Florence Mwanri.

Washiriki
wa mkutano wa mwaka wa wachumi na maafisa mipango wakimsikiliza Katibu Mtendaji
wa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Dkt. Philip Mpango (Hayupo pichani).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...