Home
Unlabelled
Boxi ughaibuni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
That's UPS employee, IDIOT
ReplyDeleteKipato chake si chini ya $2500 kwa mwezi.
ReplyDeleteMaisha yanaenda..
Kuna kaharufu cha jazba......#ndukiii
ReplyDeleteJe hayo mabox yalifikaje ndani ya hicho kitoroli? $15 kwa saa sifikirii hivyo!
ReplyDeleteAma kweli kuna watu wana matatizo ya kuelewa au wana jelas na watu wa ughaibuni.Sasa kuna tatizo gani kufanya kazi iliyopigwa picha hapo juu?Huyo mtu pesa anazolipwa ni nyingi mno je kuna ubaya kufanya kazi hiyo? Kwani kazi wewe uliyeweka picha hii unaielewa vipi?
ReplyDeleteKweli ni UPS ana-distribute vitu watu wanavyoviagiza. Duh kumbe wanatuma ma-troli na malipo makubwa sana, sisi kwetu inabidi boxi zikae BEGANI maana barabara ndiyo hizo zetu na malipo kwetu uchwara. NAOMBA MNISAIDIE NIENDE HUKO.
ReplyDeleteUPS eemployee huyo, kazi ya nzuri sana hiyo watu wanaililia , mshahara mzuri na benefits nzuri, life goes on
ReplyDeleteSasa mbona mnakuwa wakali..
ReplyDeleteHe is working hard to support his family.
ReplyDelete