Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kiongozi wa Kampuni ya ZANCHICK inayojishuhulisha na biashara ya Kuuza Kuku (Perdue)kutoka Marekani Dk.David Elua akiwa na ujumbe wa kampuni hiyo ulipofika Ikulu Mjini Unguja jana kwa mazungumzo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa Kampuni ya ZANCHICK inayojishuhulisha na biashara ya Kuuza Kuku (Perdue) kutoka Marekani unaoongozwa na Dk.David Elua katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja jana .[Picha na ramadhan Othman Ikulu.]
Tutaanza kula kuku wenye umri wa majuma mawili au matatu hivi!
ReplyDelete(Ankal angalia usibane; kwani hii ni mara ya pili kuandika ujumbe kama huu.)
Mara ya kwanza ni hao Wamarekani walipoonana na Rais Kikwete huo Washington, DC.