Kipindi kipya cha Televisheni kinachotoa fursa kwa Watanzania waliopo katika foleni za barabarani kutoa maoni na kujadili mustakabali na maendeleo ya Taifa.........Ni muda ambao wengi tunaelekea nyumbani, baada ya kutoka katika pirikapirika na shughuli za kujiongezea kipato. Pamoja na changamoto mbalimbali tunazokutana nazo, lakini kwa sasa tunajikuta katika changamoto nyingine kubwa .... FOLENI ! 
 Hosted by # Khalid Ali Gangana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ni wazo zuri na hongereni kwa ubunifu huu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...