Ankal Michuzi, 
Salam nyingi na hongera sana. Katika kuendeleza libeneke, nami nimeona sina budi kuunga mkono juhudi za kukuza lugha yetu kwa njia hii. Naomba nitangaze blogu mpya ya kawaida lakini yenye mambo yanayovutia sana kusoma na kufahamu.

Blogu hii itajikita zaidi katika kuelezea mambo mbalimbali kwa muundo mwepesi na kwa Kiswahili ili kukuza uelewa wa mambo mengi katika jamii yetu ambayo yameachwa katika lugha ngumu za kisayansi na hivyo kuwanyima fursa watu wengi kuyafahamu kiundani.  Hivyo tutakuwa tukitoa uchambuzi wa mambo na “updates” au taarifa katika nyanja za sayansi,  saikolojia na elimu nyingine zenye kuvutia sana. 

Ni matumaini yangu kwamba kupitia blog hii, wakubwa kwa wadogo watajifunza na pia kuchangia elimu mbalimbali zitakazowagusa au kuwavutia.


  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...