Wajumbe wakipata maelezo kutoka kwa uongozi wa Mkoa wa Pwani pamoja na Hospitali ya Tumbi kuhusu upanuzi wa hospitali hiyo.
Wajumbe wakikagua Jengo Jipya la Hospitali ya Tumbi linaloendelea kujengwa.
Wajumbe wa Kamati ya TAMISEMI wakitembelea Shule ya Sekondari Mihande iliyopo Mlandizi Mkoa wa Pwani kukagua Ujenzi unaondelea.
Wajumbe wa Kamati hiyo wakipata Maelezo kuhusu Ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari Mihande.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...