Tukiwa tumebakiza siku moja tu kabla ya THE LEGENDS 2ND ANNIVERSARY kesho Jumamosi 1/11 ndani ya Isumba Lounge jijini Dar es salam; mimi  John Dillinga na mwenzangu DJ Fast Eddie tunapenda kutoa heshima kubwa na mwaliko rasmi kwa malejendari hawa pamoja na patners wao hiyo kesho. 
Kama unamfahamu au uko karibu na yeyote kati ya hawa naomba nisaidie kufikishia taarifa: John Peter Pantalakis, Ommy jr, DJ Seydou, DJ Paul master G, DJ Sweet Francis, DJ Gerry kotto, DJ Neagre Jay a.k.a Masoud Masoud, DJ Young Millionaire a.k.a Jakoub Usungu, DJ Master Funky, DJ Luke Joe, DJ Joe Johnson Holela, DJ TNT tito, DJ Ebonity Woo Jacky,  DJ Agib show,  DJ Junior Challenger Amani na DJ Richie Dillon, DJ Emperor. 


AND THE BEAT GOES ON WANAKWAMBIA THE WHISPERS....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. And the Beat Goes On by The Whispers enzi hizo za kusakata rumba bila kutoka jasho.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...