Meneja Kiongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Mwanza, Bw. Hamis Faki (wa pili kushoto) akitoa hotuba wakati wa kuhitimisha Mbio za Rock City Marathon zilizofanyika jijini Mwanza Jana.
 Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha nchini Suleiman Nyambui,akiwapa maelekezo wakimbiaji wa Km 21, kabla ya mbio kuanza,kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Mratibu wa Mbio za Rock City Marathon 2014 kutoka kampuni ya Capital Plus International Limited (CPI), akizungumza na waandishi wa habari juu ya muitikio mkubwa ulionyeshwa katika Mbio za mwaka huu zilizofanyika Jijini Mwanza Jana.
 Mwanariadha kutoka Mkoani Manyara Joseph Panga,akimaliza mbio za KM 21 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza jana,wakati wa mbio za Rock City Marathon 2014, akifuatiwa na Sammy Nyokaye kutoka Kenya(kulia).
 Wanariadha wakianza kukimbia mbio za km 21 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza jana,wakati wa mbio za Rock City Marathon 2014. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...