Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM),akikabidhi mabati 40, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulhaman Kinana, ambaye aliahidi Desemba 4, 2013, alipotembelea Jijini Mbeya na kuona jitihada za wanachama wa CCM wa kata hiyo kujenga ofisi nzuri.
Baadhi ya wananchi wakimpongeza na kumshukuru Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM),baada ya kufikisha salama mabati 40, ambayo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulhaman Kinana, aliahidi Desemba 4, 2013, alipotembelea Jijini Mbeya na kuona jitihada za wanachama wa CCM wa kata hiyo kujenga ofisi nzuri.
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, (CCM), akizungumza na wanachama wa CCM na baadhi ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wake wa kukabidhi mabati 40, ambayo Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulhaman Kinana, aliahidi Desemba 4, 2013, alipotembelea Jijini Mbeya na kuona jitihada za wanachama wa CCM wa kata hiyo kujenga ofisi nzuri.
Dr. Mwanjelwa, pia yeye alichangia kiasi cha Tsh.200,000/= na kuahidi kutoa mifuko 20 ya saruji.
kwa picha zaidi tembelea libeneke lake kwa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...