Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na viongozi, waandishi wa habari
pamoja na wananchi wakiendesha baiskeli kwenda Kata ya Mg'aro katika
mteremko wa milima ya Usambara, akitokea Lushoto kwenda Wilaya ya
Mkinga, mkoani Tanga jana kuendelea na ziara ya kuimarisha uhai wa
chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na
kusikiliza kero za wananchi na kutafutia ufumbuzi.
Nape akihutubia wananchi katika Kata ya Mg'aro mpakani mwa wilaya za Lushoto na Mkinga
Wananchi wakishangilia huku mmoja wapo akiwa na bango la kuisifia CCM katika mkutano huo wa hadhara.
Kinana akihutubia katika mkutano huo wa hadhara katika Uwanja wa Maforoni, Duga.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Nape akihutubia wananchi katika Kata ya Mg'aro mpakani mwa wilaya za Lushoto na Mkinga
Wananchi wakishangilia huku mmoja wapo akiwa na bango la kuisifia CCM katika mkutano huo wa hadhara.
Kinana akihutubia katika mkutano huo wa hadhara katika Uwanja wa Maforoni, Duga.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...