Baadhi ya Wakimbia mbio za Makasia Wanaume wakichuana wakati wa
fainali za mbio za Mitumbwi zinazodhaminiswa na Bia ya Balimi Extra
Lager zijulikanazo kama “ Balimi Boat Race 2014” Mkoa wa Mwanza
zilizofanyika mwishoni mwa wiki ambapo kikundi cha Costantine
Lusalage kutoka Sengerema kilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa
upande wa Wanaume.
Baadhi ya Wakimbia mbio za Makasia Wanawake wakichuana wakati
wa fainali za mbio za Mitumbwi zinazodhaminiswa na Bia ya Balimi
Extra Lager zijulikanazo kama “ Balimi Boat Race 2014” Mkoa wa
Mwanza zilizofanyika mwishoni mwa wiki ambapo kikundi cha Joyce
Alon kutoka Misungwi kilifanikiwa kutwaa ubingwa wa Mkoa upande
wa Wanawake.
Meneja wa bia ya Balimi Extra Lager, Edith Bebwa(kulia) akizungumza
wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa mbio la Mitumbwi
zilizodhaminiwa na bia hiyo zilizofanyika Mwanza mwishoni mwa
wiki.Kushoto ni Meneja Masoka wa TBL Kanda ya Ziwa, Malaki Sitaki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...