Lady Jaydee anatarajia ku release single mpya aliyomshirikisha Dabo inayoitwa "Forever' hapo Jumatatu tarehe 24 Novemba. Hii ni baada ya Kimya cha muda mrefu kidogo na siku ya Ijumaa ndio itakuwa official launch day pale M.O.G bar & Restaurant ambapo video ya wimbo huu ita premier for the first time. Wimbo umetayarishwa na producer mahiri Man Water wa Combination Sounds, na video ya wimbo huo imefanywa na muongozaji mkongwe Adam Juma wa Next Level.
Instragram: @jidejaydee @dabomtanzania
Twitter: @jidejaydee @dabomtanzania
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...