Mkurugenzi mtendaji  wa  Shule za  Southern Highlands Mafinga  Mary  Mungai akishirikiana na mgeni rasmi  kuwalisha  keki wanafunzi wa  shule  hiyo  leo wakati wa mahafali ya  chekechea na siku ya  wazazi.
Wanafunzi  wakionyesha  michezo mbali mbali 
Baadhi ya  wanafunzi wa shule  hiyo  wakifuatilia  michezo mbali mbali.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Mkuu wa shule hiyo pia alitangaza nafasi za masomo kuanzia darasa la kwanza hadi la tatu wanaotokea kiswahili medium schools na la tano pia wakati ,Darasa la 4 na 6 wanaotoka English medium. 
Kwa la nne na sita wale wanaotoka English medium schools.  

 Fomu za kujiunga zinapatikana shuleni na kutakuwa na interviews tarehe 13 / 12/2014 maeneo uafuatayo. Shuleni Southern Highlands   Mafinga, Oyster Bay Primary school, Dar es salaam, chuo cha Nursing Ilembula na Misufini primary school, Songea ama  kuwasiliana na  uongozi  wa  shule kwa simu  hii0756749151 au 0754651966 
Pia  alisema  sekondari form one wanazo  nafasi na  jina la sekondari; Mufindi Highlands School


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...