Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Eng. Mussa Ibrahim Iyombe akizungumza wakati wa Kufungua Mkutano wa siku ya Biashara (Fidic Business Day) katika Ukumbi wa hoteli ya Serena,Jijini Dar es salaam leo.
Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano huo wakifatilia hotuba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi,Eng. Mussa Ibrahim Iyombe (hayupo pichani).
Picha ya pamoja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...