Mlezi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Diana kilichopo jijini Tanga Tatu Chamchuo Akipokea zawadi ya jezi kutoka mwanamziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo fleva Mwana FA alizozikabidhi kwa niaba ya Vodacom Tanzania,Mwanamziki huyo alitembelea kituo hicho kabla ya kufanya shoo yake ya"Vodacom Life is better" katika ukumbi wa Lacasachika mjini Tanga hapo jana.
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo fleva MwanaFA akipiga picha kwa kutumia simu yake ya mkononi pamoja na mshindi wa wa simu ya Vodafone Smart Kika Martin Joseph wa mjini Tanga mara alipotembelea duka la Vodacom Tanzania lililopo barabara ya tatu jiji Tanga hapo Jana ambapo baadae shoo kali ya kukata na shoka ya''Vodacom Life is Better'iliyofanyika katika ukumbi wa Lacasachika hapo jana .
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Bongo fleva Mwana FA akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa duka la Vodacom Tanzania barabara ya tatu mjini Tanga alipotembelea duka hilo na baadae akafanya shoo yake ya"Vodacom Life is better" katika ukumbi wa Lacasachika mjini Tanga hapo jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...