Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu,Marehemu Leonard Mashaka enzi za uhai wake.
Mheshimiwa Jaji Lillian Mashaka anasikitika kutangaza kifo cha Mume wake Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu Leonard Mashaka kilichotokea siku ya Jumapili tarehe 23/11/2014.
Mheshimiwa Jaji Lillian Mashaka anasikitika kutangaza kifo cha Mume wake Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu Leonard Mashaka kilichotokea siku ya Jumapili tarehe 23/11/2014.
Msiba upo nyumbani kwake Mikocheni
Dar es Salaam(nyumba za serikali).
Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe
26/11/2014.
Ratiba itaanzia nyumbani saa 4 asubuhi na hatimaye misa takatifu katika
kanisa la Mt. Martha Mikocheni, Saa 7 mchana.
Taarifa ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki
popote walipo.
Raha ya milele umpe
e Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.
You will truly miss
ReplyDeletePoleni sana wanafamilia na ndugu wote
ReplyDelete