Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu,Marehemu Leonard Mashaka enzi za uhai wake. 

Mheshimiwa Jaji Lillian Mashaka anasikitika kutangaza kifo cha Mume wake Kamishna Msaidizi wa Polisi mstaafu Leonard Mashaka kilichotokea siku ya Jumapili tarehe 23/11/2014. 
Msiba upo nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam(nyumba za serikali).

Mazishi yatafanyika Jumatano tarehe 26/11/2014.
Ratiba itaanzia nyumbani saa 4 asubuhi na hatimaye misa takatifu katika kanisa la Mt. Martha Mikocheni, Saa 7 mchana.

Mazishi yatafanyika katika makaburi ya Kinondoni (yazamani)kuanzia saa 9 mchana.
Taarifa ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote walipo.
Raha ya milele umpe e Bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. You will truly miss

    ReplyDelete
  2. Poleni sana wanafamilia na ndugu wote

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...