Balozi Tanzania nchini Malawi,Mh. Patrick Tsere akiwa kwenye picha ya pamoja na ujumbe wa wanajeshi sita wakiongozwa na Brigedia Generali ERNEST GALINOMA ( mstaafu) wakiwa na Makombe yao waliyoshinda baada ya kushiriki mashindano ya mchezo wa gofu yaliofanyika mwishoni wa juma, mjini Lilongwe Malawi. Ujumbe huo ulikuwa umealikwa na uongozi wa jeshi la Malawi kucheza gofu ikiwa ni maadhimisho ya kuwakumbuka waafrika walioshiriki vita vya pili vya dunia na kutimiza miaka mia baada ya vita vya kwanza. Sherehe hizo zilifanyika mwishoni mwa juma.
Home
Unlabelled
UJUMBE WA TPDF WATEMBELEA OFISINI KWA BALOZI PATRICK TSERE NCHINI MALAWI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...