Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha(kulia) akimkabidhi Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza, kombe la mshindi wa pili kwa walipa  kodi wakubwa nchini wakati wa maadhimisho ya nane ya siku ya mlipa kodi iliyofanyika jijini Dar es Salaam.Vodacom imeongoza katika kundi la sekta ya mawasiliano nchini.
 Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha(wapili kutoka kulia)akiwa katika picha ya pamoja na washindi watatu bora wakubwa walipa kodi kutoka kushoto ni Meneja wa maswala ya kodi wa kampuni ya sigara Tanzania(TCC) Godfrey Ferdinand,wapili ni Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza,kulia Meneja huduma wa kampuni ya Tanzania Breweries Alois Qande,wakati wa maadhimisho ya nane ya siku ya mlipa kodi iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
 Waziri kiongozi mstaafu Shamsi Vuai Nahodha(wanne kutoka kushoto waliokaa)akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washindi walipa kodi ambapo Vodacom Tanzania imeongoza katika kundi la sekta ya mawasiliano nchini.
 .Wageni mbalimbali waliohudhuria maadhimisho ya nane ya siku ya mlipa kodi nchini iliyofanyika jijini Dar es Salaam,ambapo Vodacom Tanzania imeongoza katika kundi la sekta ya mawasiliano nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...