Timu ya Wafanyakazi wa Benki ya Azania ikipita mitaani kuwazawadia wateja wao na kuwapa mkono wa Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya. |
Ilikuwa ni msako wa mtaa kwa mtaa, ofisi hadi ofisi, kuhakikisha wateja wote wanapata sababu ya kuendelea kuamini Benki hiyo na kudumisha udugu wa kibiashara.
|
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...