Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wanne Kushoto)
akifuatilia kwa umakini mazungumzo kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya,
alipotembelea ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya mtandao (TaGLa),leo jijini
Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wanne Kushoto)
akifuatilia kwa umakini mazungumzo kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya,
alipotembelea ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya mtandao (TaGLa),leo jijini
Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wanne Kulia) akitoa neno
la shukrani kwa watu wa Kenya baada ya mazungumzo kwa njia ya mtandao , alipotembelea
ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya Mtandao (TaGLa),leo jijini Dar es Salaam,
kulia kwake ni Mkuu wa Chuo cha IFM Pro. Daniel Mjema, wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bwana George
Yembesi na Mkurugenzi Mtendaji wa TaGLA, Bwana Charles Senkondo.
Wajumbe wa bodi ya Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya
Mtandao(TaGLa) wakifuatilia mazungunzo
kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya, Mafunzo kwa njia ya mtandao
(TaGLa),leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa tatu kushoto)
akifurahia jambo baada ya kupata maelekezo namna mitambo ya mawasiliano
inavyofanya kazi kutoka kwa Menaja wa tecknolojia TaGLA ,Bwana Emmanuel Tessua
wa kwanza kushoto,na Mkurugenzi Mtendaji wa TaGLA ,Bwana Charles
Senkondo(katikati) leo jijini Dar es Salaam.
Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA.
Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...