Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue (wanne Kushoto) akifuatilia kwa umakini mazungumzo kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya, alipotembelea ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya mtandao (TaGLa),leo jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue (wanne Kushoto) akifuatilia kwa umakini mazungumzo kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya, alipotembelea ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya mtandao (TaGLa),leo jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue (wanne Kulia) akitoa neno la shukrani kwa watu wa Kenya baada ya  mazungumzo kwa njia ya mtandao , alipotembelea ofisi ya Wakala wa Mafunzo kwa njia ya Mtandao (TaGLa),leo jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni  Mkuu wa Chuo cha IFM  Pro. Daniel Mjema, wa kwanza kushoto ni  Katibu Mkuu Ofisi ya Rais  Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bwana George Yembesi na Mkurugenzi Mtendaji wa TaGLA, Bwana Charles Senkondo.
 Wajumbe wa bodi ya Wakala wa Mafunzo kwa Njia ya Mtandao(TaGLa) wakifuatilia mazungunzo  kwa njia ya mtandao na watu wa Kenya, Mafunzo kwa njia ya mtandao (TaGLa),leo jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue (wa tatu kushoto) akifurahia jambo baada ya kupata maelekezo namna mitambo ya mawasiliano inavyofanya kazi kutoka kwa Menaja wa tecknolojia TaGLA ,Bwana Emmanuel Tessua wa kwanza kushoto,na Mkurugenzi Mtendaji wa TaGLA ,Bwana Charles Senkondo(katikati) leo jijini Dar es Salaam.
Kwa taarifa kamili na picha zaidi BOFYA HAPA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...