Radio
5 FM 105.7 imeandaa "kampeni ya RADIO 5 viwanjani" katika mkoa wa
Arusha ambapo itawakutanisha watangazaji na madjs na wasikilizaji wao
katika kumbi za starehe kwa takribani wiki tano ikiwa ni sehemu ya
kuwashukuru mashabiki wa Redio hiyo kwa kuwa pamoja kwa mwaka mzima huku
mashabiki wakijipatia zawadi mbalimbali katika kampeni hiyo(katika picha ni
Mtangazaji wa kituo cha Redio 5 Julius Kamafa aliyejizolea umaarufu
mkubwa jijini Arusha kupitia kipindi chake cha funiko base
kinachosikilizwa zaidi na vijana akishow love na msikilizaji wake katika
kampeni ya "Redio 5 viwanjani"ndani ya ACTIVE CLUB - Mbauda jijini Arusha
Timu kazi ya Redio 5 wakifatilia show
Mtangazaji
maarufu aliyejizolea umaarufu mkubwa kupitia kipindi chake cha love
cuts Semio Sonyo akiwa anauliza maswali kwa vijana wa Arusha waliofika
katika kampeni ya Redio 5 viwanjani ndani ya ACTIVE CLUB - Mbauda jijini
Arusha.
Mtangazaji
maarufu aliyejizolea umaarufu mkubwa kupitia kipindi chake cha love
cuts Semio Sonyo akimuuliza maswali shabiki wa redio 5 katika kampeni ya
Redio 5 viwanjani yenye nia ya kuwashukuru wasikilizaji wa kituo hicho
kwa kuwa pamoja kwa mwaka mzima
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...