Naibu waziri maji Mhe. Amos makalla akipata maelezo ya ujenzi wa tanki la maji mradi wa Boro-Masoka kutoka kwa mhandisi maji Moshi injinia Brown Lyimo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji kanda ya Kaskazini. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Hai Mhe. Novatus Makunga
Naibu  Waziri wa maji  Mhe. Amos Makalla akiangalia ramani ya mradi wa maji Boro - Masoka
Naibu Waziri wa  maji   Mhe. Amos makala akikagua chanzo cha maji cha Mananga cha mto Ghona, Himo
Naibu Waziri wa maji Me. Amos Makalla akisikiliza maelezo  kutoka kwa viongozi wa mji mdogo wa Himo katika moja ya kituo cha kuchotea maji

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...