Mdau Anne Kivembele ambaye ni Mhariri na Mchanganya picha wa Kituo cha Televisheni cha ITV akiwa kapozi kwa picha mara baada ya kulamba nondozz yake ya Uzamili ya Uchumi na Maendeleo ya Jamii katika Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam,mwishoni mwa wiki iliyopita.
 Mdau Anne Kivembele akiwa na marafiki zake mara baada ya kulamba Nondooz zao katika Chuo Kikuu Huria,jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Dada hongera sana.....Saidi hapa Sweden

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...