Mwenyekiti wa kamati ya Maandalizi  ya Mkesha Mkubwa wa kuliombea Kitaifa ,Askofu Godfrey Emmanuel Malassy (wa Nne  kutoka kulia) akiongea  na wandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mkesha huo utakaofanyika kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam Desemba 31,2014.Dhima ya mkesha wa mwaka huu ni kumshukuru Mungu kwa awamu 4 ya uongozi wa Taifa letu na kuliombea Taifa katika kipindi chote cha mchakato wa uchanguzi mkuu wa mwaka 2015.Kutoka kulia ni Askofu Nickson Kallinga, Mchungaji Derrick Luhende, Askofu William Mwamalanga, Makamu Mwenyekiti wa mkesha huo, Askofu Keneth Dismas, Mchungaji Debora Mallasy (Mjumbe), Mama Mchungaji Olivia Mallongo (Mjumbe) na Debora Elisha (Mjumbe) 
 Mchungaji  Olivia Mallongo  Akizungumza jambo na wandishi wahabari(hawapo pichani) kuhusu Maandalizi ya mkesha utakaoo fanyika uwanja wa taifa Desemba 31, 2014
Baadhi ya wandishi wa habari wakifatilia na kuchukuwa habari

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...