Wapiganaji Godfrey Monyo wa ITV na RadioOne (kati) na Bi Mwaura Mwingira wa Ubalozi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani (kulia) wakiwa na wahitimu wenzao katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam,wakati walipolamba Nondozzz zao.
 Mdau Godfrey Monyo wa ITV na RadioOne (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Wahitimu wenzake mara baada ya kulamba nondozz zao katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria jijini Dar es Salaam,Mwishoni mwa wiki.
 Monyo na Mdogo Wake.
Mdau Godfrey Monyo wa ITV na RadioOne akiwa na Baba yake Mzee Zerubabeli Moyo mara baada ya kulamba Nondozz yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huyu anaitwa Monyo au Moyo? Unatuchanganya sio tusiojua kwani umetumia yote mawili hapo juu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...