Bango la Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya (katikati) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu wakipata maelezo ya ujenzi wa barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.Wakati walipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu wakikagua ujenzi wa barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.
Ujenzi wa barabara unaendelea.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya (wa tano kulia), na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu (wa tatu kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wakadarasi na wahandisi wa ujenzi wa barabara hiyo.
Mkuu Mwandosya nilitaka kukushangaa kuona miaka yote hii umekaa serikalini lakini Mwakaleli-Katumba na vile vile Lwangwa Tukuyu hamna lami. Na huu ndiyo msingi mkubwa ambao unanivutia kugombea Ubunge 2015, ili(siyo nijaribu) bali niwatimizie watu wa Rungwe, angalau, njia ya lami. Wasafiri wa Mwakaleli na Lwangwa wanapata shida sana mvua zinyeshapo. Jamaa wa Arusha wametupita Mbeya kimaendeleo utadhani atuko taifa moja,ambapo namba ya wasomi karibu tupo sawa. Nakupa ongera kwa ilo Mmbunge. Ili jambo limechelewa sana, lakini afadhali linatimia. Nawaambia wapiga kura wote wa Rungwe sasa ni wakati wakumchagua mtu kwa jinsi anavyoleta maendeleo, siyo maneno pekee bali vitendo vya kweli.
ReplyDeleteUnstoppable!
ReplyDelete