Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa band a.k.a FFU-Ughaibuni a.k.a "watoto wa mbwa" au viumbe wa ajabu "Anunaki anunnaki aliens" yenye makao yake nchini Ujerumani, inatoa Salam za heri ya mwaka mpya 2015 kwa wadau wote popote pale mlipo,mwaka mpya 2015 uwe wa mafanikio ,Amani na Upendo kwa wote. 
HAPPY NEW YEAR 2015 ! HAPPY NEW YEAR 2015 ! 
msikose burudani kamili bofya 
moja ya show za Ngoma Africa band nchini Ujerumani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. wakuu wa kazi ngoma afrika band aka
    ze fanyaa fujo uone chini ya kamanda mkuu ras makunja,asanteni sana nanyi mbarikiwe

    ReplyDelete
  2. hii!!!ngoma afrika wakuu wa kukaanga mbuyu mwaka 2015 mmetuandaliaa nini?
    nyinyi ni tegemeo la muziki wa bongo dansi

    ReplyDelete
  3. Maafande wa ffu nina kazi nataka kuwapa huko ughaibuni kunasehemu ina fujo sana sasa nataka mkamalize ghasia

    ReplyDelete
  4. ah ah kikosi maalumu tunaachokitegemea kukabiliana na fujo zote ughaibuni,ngoma ya afrika aka viumbe mazimwi wa ajaabu anunnaki

    ReplyDelete
  5. watoto wa mbwa watukutu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...