Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi mchana leo huko Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda. 
Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda mchana leo. Picha na GPL

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Madereva wa bodaboda nao wamekuwa 'rough' sana barabarani... Haya lazima yatokee.. Hapo kama gari ni bovu mmemsaidia mliki kupata Bima kiurahisi sana... VANDALISM is not the solution....

    ReplyDelete
  2. Umeisoma sheria ya bima ww? Kama Bado nenda kwa wakala wa bima atakuelewesha. Kwa maelezo ya michuzi huyu dereva ameua watu 3 Bila shaka alitaka kutoroka. Wananchi wakamtight. Ukiiangalia ni kama commotion HIV ambayo bima hawatoi kinga

    ReplyDelete
  3. Kuchoma gari si suluhu kama dereva kagonga aitiwe polisi afikishwe mahakamani, hii nchi ina utawala wa sheria, uvunjifu wa amani unaweza kutokea watu wanapochukua sheria mkononi badala ya kutumia sheria na taratibu husika. Trafiki ifanyie uchunguzi swala hili, kama sehemu hiyo inahitaji matuta au alama ya barabarani kupunguza spidi ya magari viwekwe ili tukio hili lisirudiwe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...