Afisa Uhusiano mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi,
(Kushoto), akipena mikono na Ummy Shaaban, mwanafunzi wa darasa la sita
shule ya msingi Buyuni II, iliyoko Chanika, wilaya ya Ilala jijini Dar
es Salaam,wakati akikabidhi msada wa madawati kwa ajili ya shule hiyo
mwishoni mwa wiki. (Katikati ni mwalimu mkuu wa shule hiyo, Rogather
Palla.
Afisa
Uhusiano mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Njaidi, (Kushoto),
akitoa elimu kupitia vipeperushi kwa baadhi ya walimu wa shule hiyo.
Wanafunzi wakibeba dawati kupeleka darasani.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa wameketi kwenye madawati hayo.
Afisa Uhusiano mwandamizi wa PSPF, Abdul Njaidi, akiwaelimisha wanafunzi
hawa wa shule hiyo, kuhusu huduma mbalimbali zitolwewazo na Mfuko huo
Wanafunzi wakishangili msada huo wa madawati
Baadhi ya Wanafunzi wakishangilia mara baada ya kukabidhiwa madawati hayo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...