Sheikh Ali Mzee Comorian (pichani) amefariki dunia muda mchache uliopita nyumbani kwake mtaa wa Kariakoo jijini Dar es salaam. Shughuli za maziko zinafanyika hapo hapo nyumbani kwake.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa, marafiki na majirani popote pale walipo.
Maziko yatafanyika kesho Jumatatu saa nne asubuhi. Atasaliwa Msikiti wa Makonde na atazikwa katika Viunga vya Wangazija mtaa wa Bibi Titi Mohamed, Dar es salaam.
Mwenyezi Mungu ampe Kauli Thabit
Imetolewa na:
Abdulrahman S. I. Mbamba
Inna Lillah Wainna Illahi Rajioun
ReplyDeleteInna Lillahi Wainna Ilayhi Rajiun. Mwenyeez Mungu akughufirie kwa yote na akunusuru adhabuze zote, akupumzishe palipo pema peponi na kesho Yaumul Hisabu ukawe ni miongoni mwa waja wake wema watakaodumu katika yake Firdaus - AMEEN.
ReplyDeleteInna Llillah wa Inna Illah Rajeoon. Maalim wangu Baki Allah . Allah akupe Kauli THABIT Kaburi lako liwe kasri katika viwanja vya Rawdha na si shimo katika Tumbo la Ardhi RIP. Amin Amin Amin.
ReplyDelete