Mdhibiti na Mkaguzi wa hesabu za Serikali Mstaafu
Ludovick Utoah akitoa nasaha katika hafla ya kuagwa kwake aliyoandaliwa
na taasisi ya wakaguzi wa hesabu binafsi nchini.
Mwenyekiti wa taasisi ya wakaguzi wa hesabu binafsi nchinin Bwana Chacha akimpongeza Bwana Utouh baada ya hotuba yake.
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za mashirika ya umma Zitto
Kabwe akimpongeza CAG mstaafu katika hafla ya kuagwa kwake
aliyoandaliwa na taasisi ya wakaguzi binafsi wa hesabu nchini.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...