Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla akimkabidhi Kiongozi wa kikundi cha Faidika wa kijiji cha manza mchango wa shilingi laki tano.Mh. Makalla yupo Jimboni kwake Mvomero kwa ziara ya Kikazi.
Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla akiwasalimia vijana wa kijiji cha manza,Mvomero wakati akiwa kwenye ziara ya kikazi kwenye Jimbo la Mvomero.
Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla akikabidhi mbuzi kumi kwa ajili ya walemavu kumi kijiji cha Chohero,Mvomero.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...