Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Wema ongea Lugha yako bwana, unapochanganya na kiingereza haileti maana, kumbuka watu wengi wanaangalia show zako na wengine hawajui lugha hiyo ya kigeni. Ona wenzetu wa huku nje kama anaongea kiingereza ni kiingereza tu hachanganyi na kijerumani, wala kiitaliano.

    ReplyDelete
  2. ushamba wa lugha huo!

    ReplyDelete
  3. ni ngumu sana wkati mwingine kama ushazoea kuongea kingereza ukaongea kiswahili moja kwa moja...Kuchanganya lazima kutatokea tuu...Ni sawa na yule aliyezoea home kuongea kilugha chake huwa wakati mwingie akiongea itatokea kuchanganya tuu...

    Automatically inatokea sio kusudio lake...

    Mazoea yanatabu jamani muacheni.. Hata wakenya nao huchanganya tena wale ndio balaaa zaidi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...