Ujumbe
wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu wakikagua eneo
lililotengwa kwa ajili ya NHC kujenga nyumba za gharama nafuukatika
Halmashauri ya Wilaya Serengeti-Mugumu. Eneo hili lina ekari 134 na
miundombinu ya maji na umeme.
Afisa
Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mugumu Serengeti akimuonyesha
Mkurugenzi Mkuu wa NHC ramani ya mpango Miji inayoonyesha eneo la NHC la
kujenga nyumba za gharama nafuu.


HABARI ZAIDI BOFYA HAPA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...