Kwa mujibu wa televisheni ya ntv ya Kenya.

Mheshimiwa ameuawa pamoja na dereva wake pamoja na walinzi wake wawili majira ya saa nane na nusu usiku wa kuamkia leo katkka barabara ya Kenyatta avenue wakati akiwa njiani kutoka katika sherehe.

Alisimama na ili kununua magazeti,na ndipo mtu aliyevalia mask alipojitokeza kutoka gari ndogo aina ya toyota pro-box na kuanza kuwafyatulia risasi vichwani kila mmoja,akitumia bunduki aina ya AK 47.

Pia alipora briefcase ya marehemu pamoja na bastola mbili za walinzi wake na kutokomea kusikojulikana akitumia gari hilo lililokuwa limefichwa namba zake.
Marehemu pia alikuwa ameambatana na mke na watoto wake wawili wa kike waliokuwa ndani ya gari la nyuma na walishuhudia mauaji hayo yakifanyika.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Kenyatta hospital Nairobi.

R.I.P marehemu wote.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Aisee binadamu tuna dhambi unamuua binadamu mwenzio hivi hivi bila hata ya kumuonea huruma daa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...