Mshindi wa pikipiki aina ya Bajaj kupitia promosheni  ya 'Weka Upewe' ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Judith Gwimile (wa nne kushoto), akikabidhiwa kadi ya Bajaj na kibao cha namba na Meneja wa Tawi la benki ya NBC Mwanza, Godhard Hunja, jijini humo. Wengine ni baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo tawini hapo.
 Mshindi wa pikipiki aina ya Bajaj kupitia promosheni  ya 'Weka Upewe' ya  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Judith Gwimile akiwa ndani ya bajaji hiyo mara baada ya kukabidhiwa na Meneja wa Tawi la benki ya NBC Mwanza, Godhard Hunja (katikati),  jijini humo. Kushoto ni Meneja Uendeshaji wa benki  hiyo tawi la Mwanza, Margareth Touwa.
Mshindi wa pikipiki aina ya Bajaj kupitia promosheni  ya 'Weka Upewe' ya  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Judith Gwimile (katikati), akibadilishana  mawazo na Meneja wa Tawi la benki ya NBC Mwanza, Godhard Hunja (kulia)huku wafanyakazi wengine wa benki hiyo wakimsikiliza katka hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...