Mshindi wa pikipiki aina ya Bajaj kupitia promosheni ya
'Weka Upewe' ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Judith Gwimile (wa
nne kushoto), akikabidhiwa kadi ya Bajaj na kibao cha namba na Meneja wa
Tawi la benki ya NBC Mwanza, Godhard Hunja, jijini humo. Wengine ni
baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo tawini hapo.
Mshindi wa pikipiki aina ya Bajaj kupitia promosheni ya 'Weka Upewe' ya Benki
ya Taifa ya Biashara (NBC), Judith Gwimile akiwa ndani ya bajaji hiyo
mara baada ya kukabidhiwa na Meneja wa Tawi la benki ya NBC Mwanza,
Godhard Hunja (katikati), jijini humo. Kushoto ni Meneja Uendeshaji wa benki hiyo tawi la Mwanza, Margareth Touwa.
Mshindi wa pikipiki aina ya Bajaj kupitia promosheni ya 'Weka Upewe' ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Judith Gwimile (katikati), akibadilishana mawazo
na Meneja wa Tawi la benki ya NBC Mwanza, Godhard Hunja (kulia)huku
wafanyakazi wengine wa benki hiyo wakimsikiliza katka hafla hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...