1
Meneja wa Bima ya Afya NHIF Wilaya ya Temeke, Bi Ellentruder Mbogoro (kushoto), akifafanua machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasimi Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani kufungua mafunzo ya siku moja ya viongozi wa SACCOS Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Februari 17,2015 lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu kuhusiana na mpango wa NHIF wa KIKOA unaotolewa Bima ya Afya waweze kujiunga na Mfuko huo ili wapate uhakika wa matibabu kupitia mfuko wa bima ya afya (katikati), Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani (kulia) ni Kaimu Meneja wa CHF, Bw. Salvatory Okumu.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON,
2
Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani akifungua mafunzo ya siku moja ya viongozi wa SACCOS Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu kuhusiana mpango wa kujiunga na NHIF kupitia vikundi (KIKOA) ili wapate uhakika wa matibabu kupitia mfuko wa bima ya afya (kulia) baadhi ya viongozi kutoka NHIF.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...