Uwanja wa Uhuru Maarufu kama "Shamba la Bibi" ukiwa kushoto mwa Uwanja Mkuu wa Taifa ambao bado haujapewa jina rasmi unavyoonekana leo baada ya kuwekwa paa upande wa "Urusi".
Haijajulikana bado lini utaanza kutumika na kuupumzisha Uwanja wa Taifa ambao ndilo kimbilio la shughuli karibu zote za michezo  na za jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Ivi kumbe haujapewa jina bado...ahh majina kibao tu kama jomokenyata, mwai kibaki, mobutuseseko,obama,mayweather...tutumie mtindo uleule tu wa barabara zetu na majina ya ng'ambo.....

    ReplyDelete
  2. Mimi napendekeza Kikwete stadium manna jamaa na michezo hakuna mfano

    ReplyDelete
  3. Wamtafute sponsor, mtu binafsi au kampuni, ambapo watatumia jina lake na atozwe kila mwaka na hizo pesa zitumike katika kusaidia kukitunza kiwanja. Wanasiasa hawa hawazisaidii hata shule walikosomea! Hakuna vya bure.

    ReplyDelete
  4. Ifike wakati Tanzania tuachane na dhana ya kutumia majina ya viongozi kwenye kila kitu.Tanzania tuna rasilimali unique ambazo tunaweza kuzipromote kwa kutumia majina yake katika vitu km hivi.ie.Kilimanjaro, serengeti, Tanzanite nk.

    ReplyDelete
  5. Tusubiri wachina watatoa jina

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...