Mkurugenzi wa
Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Daudi Mbaga akitoa mada kuhusu Mifuko ya
Uwekezaji wa Pamoja UTT-AMIS kuhusu
Uwekezaji wa pamoja kwenye Masoko ya Fedha wakati wa semina ya kuwaelimisha
watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha katika uwekezaji.
Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wakimsikiliza Mkurugenzi wa
Masoko na Uhusiano wa UTT AMIS, Daudi Mbaga (hayupo pichani) wakati akitoa mada kuhusu Mifuko ya
Uwekezaji wa Pamoja UTT-AMIS kuhusu
Uwekezaji wa pamoja kwenye Masoko ya Fedha wakati wa semina ya kuwaelimisha
watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha katika uwekezaji.
Baadhi ya wafanyakazi katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakiwa katika semina hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uwekezaji ya UTT, Hamis Kibola (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa semina ya iliyoendeshwa na UTT-AMIS kuhusu Uwekezaji wa pamoja kwenye Masoko ya Fedha ikiwa ni kuwaelimisha watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kuhusu masuala ya uwekezaji.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...