Waziri
Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa vyama vya
siasa na vingozi wa serikali wakati alipowasili katika soko la mwanjelwa
Februari 25,2015 tayari kwa uzinduzi wa soko hilo ambalo linaloendelea
kujengwa jijini Mbeya.Picha na Fadhil Atick,Globu ya Jamii.
Waziri
Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisisitiza jambo wakati akiwahutubia wakazi wa
mji wa Mbeya mjini mara baada ya uzinduzi wa Soko la Mwanjelwa.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akipewa maelezo mafupi ya maendeleo ya soko hilo kutoka kwa mkandalasi wa ujenzi wa Soko hilo.
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Mbeya,Mh. Mary Mwanjelwa akizungumza machache.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...