Naibu Waziri wa Madini wa Wizara ya Nishati na Madini,Charle’s  Kitwanga akizungumza leo jijini Dar es Salaam  na wafanyabiashara wa Ujerumani wakitaka kujua fursa za uwekezaji katika sekta ya Nishati na Madini.


 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Ndosi Mwihava akitoa maelezo kwa wafanyabiashara wa Ujerumani wakitaka kujua mazingira ya uwekezaji katika sekta ya nishati na Madini walipotembelea wizara hiyo jijini Dar es Salaam.
 Kiongozi wa Wafanyabiashara wa Ujerumani Mathias Maching akizungumza leo jijini Dar es Salaam juu ya msafara wao katika kujua mazingira ya uwekezaji katika sekta ya Nishati na Madini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hizi kazi Prof. Mhongo alikuwa na uwezo nazo sana ila wabongo kutokana na ignorance tumemchafua bila sababu na kushangilia alivyotoka.
    Watanzania hatutapata maendeleo kama tusipo wakubali wenzetu wenye uwezo wa kufanya kazi na tukaendekeza majungu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...