Kamera ya Globu ya Jamii imewanasa abiria hawa wakipanda daladala kupitia Mlango wa Dereva kutokana na hali ya gombalia goli iliyikuwepo kwenye mlango wa kawaida wa abiria.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Sirudi ng'o....yaani tangu nasoma Azania 1994 abiria walikua wakiingia kupitia aidha dirishani au mlango wa dereva nasikitika kuona miaka ishirini imepita lakini hakuna mabadiriko.

    ReplyDelete
  2. Sisi hatutaki mtu asiyeweza kutamka MABADILIKO bora ukae huko huko!!

    ReplyDelete
  3. Pole sana mawazo yakutokurudi yanaisadiaje nchi yako? njoo ulete mawazo nchi ibadilike ila sikuombei ukrehemeka mwili uooo TZ wapi na wapi na je wewe nasikitika kuona miaka ishirini imepita lakini bado hujui pakuweka r wala l lol!"hakuna mabadiriko"

    ReplyDelete
  4. Mhh... wanatusemaga wa MBAGALA kumbe kote ngoma droo

    ReplyDelete
  5. fred mutahMarch 06, 2015

    mdau hapo juu uko sahihi kabisa tunafanya mabadiliko sawa ila speed yetu ni ndogo mnooo.

    mradi wa mabasi yaendayo kasi foleni sasa ipo mradi unapoishia yaani kuanzia temboni hivi ni kweli hatewezi kuplan hata kwa miaka ishirini?

    nilikuwa kenya wanaenda vizuri nasikia hata Ethiopia speed yao nzuri pia.

    ReplyDelete
  6. Baki huko huko wala usipate shida ya kuja huku,tuachie tuliozoea.

    ReplyDelete
  7. Ulaya na Marekani ni kama daladala vile, maaana hakujai, inajaa ndoo ya maji.

    ReplyDelete
  8. Tz itajengwa na watanzania. Usiporudi ni nani atatatua tatizo? Atakae endelea kutaabika ni mjoba wako na wapwa zako,amautawabeba pia? Never say Never.

    ReplyDelete
  9. Mkataa kwao mtumwa. Njoo tuijenge nchi yetu changa yenye miaka 53 ya uhuru.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...