Msimamizi wa michezo ya kubahatisha kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, Mrisho Milao kulia akipata maelekezo kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Mauzo ya mtandao (Online) wa Bayport Financial Services, Zainabu Kalufya, katika uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo ya haraka kwa njia ya mtandao kwa www.kopabayport.co.tz, uzinduzi uliofanyika leo Makao Makuu ya Bayport, jijini Dar es Salaam. Picha kwa Hisani ya Bayport.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
TAASISI ya Kifedhaya Bayport Financial Services, yenye Makao Makuu yake jijini Dar es Salaam, Tanzania, imezindua tovuti yake ya www.kopabayport.co.tz, itakayowezesha wateja wake kupata mikopo ya haraka na kwa njia rahisi.

Kwa kupitia tovuti hiyo, watu mbalimbali wanaweza kupata huduma za Bayport, sanjari na kupata mkopo ndani ya saa 24 baada ya kuidhinishwa, huku akijibiwa ombi lake la mkopo, ndani ya masaa mawili tangu alipojisajiri kwa mara ya kwanza.

Akizungumzia huduma hiyo mpya ya mikopo ya haraka kwa njia ya mtandao jijini Dar es Salaam leo mchana, Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport Financial Services, Ngula Cheyo, alisema kwamba huduma hiyo sasa itawawezesha wateja wao kukopa mahala popote atakapokuwa, tofauti na awali.

Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services kitengo cha Huduma kwa Wateja, wakiwajibika wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo ya haraka kwa njia ya mtandao onlinewww.kopabayport.co.tz, jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. real testimony and good news !!!

    My name is Mohammad, I just received my loan and was transferred to my bank account, a few days ago I applied to the Dangote Loan Company through Lady Jane (Ladyjanealice@gmail.com), I asked Lady Jane about the Dangote Loan Company requirements and Jane told me that if I had all the requirements that my loan would be transferred to me without delay

    And believe me now because my Rp. 11 billion loan with a 2% interest rate for my Coal Mine business has just been approved and transferred to my account, this is a dream to come, I promise Lady Jane that I will tell the world is this true? and I will tell the world now because this is true

    You do not need to pay registration fees, license fees, adhere to the Dangote Loan Company and you will get your loan

    For more details, contact me via email: mahammadismali234@gmail.com
    and contact Dangote Loan Company for your loan now via email Dangotegrouploandepartment@gmail.com

    ReplyDelete
  2. TAFUTA MFARASHAJI WA MCHANGO

    Tatua Tatizo lako la Fedha Ndani ya Masaa 24.

                 Je, wewe ni Mmiliki wa Mshahara au Biashara?
          Pata kutoka kwa Euro 1,000 - 200,000, 000 Euro Mikopo ndani ya masaa 24

                   Suluhisho la Fedha Rahisi.

    Kwa Maswali zaidi wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com
    Mkurugenzi Mtendaji: Bibi Benjamine
    au tembelea tawi letu: Level 29, Tiffany Tower, Jumeirah Lakes Towers Dubai. UAE


    Wasiliana nasi kwa: immaculateloanprovidersltd@gmail.com

                                  Asante

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...