Sargent Damian Muheya kutoka kitengo cha habari na Elimu kwa Umma Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji akitoa maelezo ya kutumia vifaa vya kuzimia moto vya huduma yakwanza kwa watumiaji wa Kivuko cha Magogoni jijini Dar es salaam tarehe 05/03/2015,ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na majanga ya moto katika hatua ya awali.
Sargent Damian Muheya kutoka kitengo cha Habari na Elimu kwa Umma Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji akimuongoza mmoja wa watumiaji wa kivuko cha MV Magogoni kuzimamoto kwa kutumia mtungi wa kuzimia moto wa huduma ya kwanza tarehe 4/03/2015,ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na majanga ya moto katika hatua za awali.
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Konstebo Godfrey Peter kutoka kitengo cha Elimu kwa Umma Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji akionesha matumizi ya ya Mtungi wa kuzimia moto aina ya Unga Mkavu ( dry powder) kwa watumiaji wa kivuko cha magogoni jijini Dar es salaam,mafunzo hayo yalitolewa tarehe 04 na 05 /03/2015. Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea wananchi uwezo wa kukabiliana na majanga ya moto katika hatua za awali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...