Katibu Mkuu Utumishi Bw.George D. Yambesi (kushoto) akikabidhi ofisi kwa Naibu Katibu Mkuu Utumishi Bw. Hab Mkwizu baada ya kustaafu Utumishi wa Umma.Makabidhiano hayo yamefanyika ofisini kwake.
Katibu Mkuu -Utumishi Bw. George D. Yambesi (katikati) akipongezwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu Bw. Aloyce Msigwa, (kushoto) ni Naibu Katibu Mkuu-Utumishi Bw. Hab Mkwizu. Bw. Yambesi amestaafu Utumishi wa Umma.
Tunamshukuru Mungu. Ni neema kuweza kustaafu utumishi wa Umma.
ReplyDeleteMungu akuwezeshe katika maisha yako mapya ya Ustaafu.
Msistaafu tu bali muandike vitabu kuhusu taaluma zenu.
ReplyDeleteMr. George Yambesi ni mmoja wa viongozi wa Kada ya Juu ya Utumishi wa Umma. Aliye mwadilifu, busara, hekima, huruma na kiongozi mahili na mkali pale inapokuwa lazima kufanya hivyo bila kuacha vidonda au majeraha kwa wale anaowaongoza.
ReplyDeleteIlikuwa faraja kufanya kazi na wewe kwa kweli umetufundisha mengi na ni mfano mzuri wa kuigwa kwa hulka na tabia ya kiongozi mwenye hadhi kama yako.
Mwenyezi Mungu akuongoze na akupe afya njema, furaha na maisha marefu katika ustaafu.
You served well, and you left a legacy behind. Well done.
Maisha yako na utumishi wako uliotukuka ni Testimony. Mungu akutunze na kukupa afya njema ili uendelee kuwa mshauri wa masuala ya Kiutumishi ndani na nje ya nchi.
ReplyDelete