Afisa
Mwendeshaji Mkuu wa UTT AMIS Bw.Simon Migangala akiongea na waandishi
wa habari jana Dar es salaam kuhusiana na ufanisi wa mifuko kwa kipindi
cha miezi sita iliyopita.
UTT
AMIS ndiyo waendeshaji na waanzilishi wa mifuko ya uwekezaji wa pamoja
nchini.Mpaka sasa wanaendesha mifuko mitano ya uwekezaji ambayo ni Mfuko
wa Umoja, Mfuko wa wekeza Maisha,Mfuko wa Watoto, Mfuko wa Kujikimu na
Mfuko wa Ukwasi yenye zaidi ya shilingi bilioni 227.
Bwana
Migangala aliwaambia waandishi wa habari kuwa kwa ujumla ukuaji wa
mifuko umekua mzuri na umewezasha kutoa faida nzuri kwa wawekezaji wake
zaidi ya 100,000 kwa kipindi cha miezi sita iliyopita.
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...