Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Ofisi ya Mkoa wa Lindi,Fortunata Raymond akitoa Mada ya Maboresho yanayotekelezwa na Mfuko hususani kitita cha Mafao kwa Wanachama katika Kata namichiga Wilayani Ruangwa ambapo pia aliwataka kutumia Mkutano huo kubainisha Changamoto hasi na Chanya zitakazowezesha Maboresho Ya Huduma Za Matibabu Sambamba Na Sekta Ya Afya Kwa Ujumla,Kushoto Katikati Ni Mtendaji Kata Ya Namichiga Richard Nnonjela Na Kushoto Kabisa Ni Mwalimu Mkuu Wa Shule Ya Msingi Namkonjera Iliyopo Kata Ya Namichiga.
Watumishi Wa Kada Mbalimbali Ambao Ni Wanachama Wa Mfuko Wa Taifa Wa Bima Ya Afya Waliopo Wilayani Ruangwa Katika Kata Ya Namichiga Wakimsikiliza Meneja Wa Mfuko Wa Taifa Wa Bima Ya Afya Hayupo Pichani Wakati Wa Utekelezaji Wa Mpango Wa Elimu Ya Kata Kwa Kata Sambamba Na Upimaji Wa Afya Kwenye Magonjwa Yasiyoambukiza Ambapo Alisema Yamekuwa Ni Ya Gharama Kubwa Kwa Kuwa Wengi Hawafahamu Dalili Zake Hivyo Uyafahamu Wakati Tayari Yameshafikia Hatua Kubwa Ya Madhara Na Wakati Mwingie Kuchangia Vifo,Hivyo Ofisi Ya Mkoa Wa Lindi Umekuwa Ukitekeleza Kwa Nia Ya Kuongeza Uelewa Na Wanaobainika Kuwa Na Viashiria Kupata Ushauri Wa Kitaalamu Kutoka Kwa Madaktari Wanaotoa Huduma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...