Mkurugenzi
Mkuu wa PSPF, Bw. Adam Mayingu, akitoa hotuba ya utangulizi wakati wa kikao
kazi cha siku moja ya maafisa na wakuu wa idara za Halmashauri za miji
na Manispaa za mikoa ya Dar es Salaam na Pwani, iliyofanyika makao makuu
ya PSPF jijini Dar es Salaam, Alhamisi Machi 26, 2015.
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni, Wizara
ya Habari, Vijana, Utamaduni, na Michezo, Profesa Hermans Mwansoko akitoa hotuba ya ufunguzi wa
kikao kazi cha siku moja kwa maafisa na wakuu wa idara za Halmashauri na
Manispaa za Dar es Salaam na Pwani, kilichoandaliwa na Mfuko wa
Pensheni wa PSPF, na kufanyika makao makuu ya Mfuko huo jijini Dar es
Salaam, Alhamisi Machi 26, 2015
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Contatina Martin, akizungumza kwenye kikao hichoMkurugenzi wa Uwekezaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Gabriel
Silayo, akitoa mada kuhusu uwekezaji wa Mfuko huo, wakati wa kikao kazi
hicho
Tunawaomba PSPF, HIZO SEMINA ZIJE NA HUKU MWANZA.KILA SIKU NI HUKO TUU DAR JAMANI? NA SISI PIA NI WANACHAMA WENU WANDUGU
ReplyDelete