Benki ya NMB ndio benki pekee yenye matawi katika kila wilaya hapa nchini.Hivyo basi ndio benki pekee inayowajali wateja wake kwa kua karibu zaidi wakati wote.NMB imekua ikiandaa semina elekezi kwa wateja wake .Sasa ilikua zamu ya wakulima na wadau wote wa kilimo cha kahawa wameweza kupata fursa ya kujua huduma mbali mbali zitolewazo na NMB kwa ajili ya wakulima na wadau wote wa hudiuma za kibenki Hivi karibuni NMB iliandaa semina kwa ajili ya wadau wa biashara za Kilimo ambayo imeendeshwa katika mikoa mbali mbali ikiwmo Tabora na Mbeya
Wadau wa Kilimo cha Kahawa  Mkoa wa Mbeya wakifuatilia jambo wakati wa semina ya kilimo cha kahawa iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya wateja wake ambao ni wadau wa Kilimo Tanzania
Wadau wa Kilimo cha Kahawa  mkoani Mbeya wakiwa kwenye picha ya pamoja na na Uongozi wa Benki ya  NMB Kanda ya Nyanda za juu  baada ya kumaliza semina ya kilimo cha kahawa iliyoandaliwa na Benki ya NMB kwa ajili ya wateja wake ambao ni wadau wa Kilimo Tanzania


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...